Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


BANDA LENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.12 MILIONI, MBEZI MSAKUZI KWA MJESHI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 280.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hapa kuna Chumba na Sebule,
Masta 1 na Chumba cha pekeyake.
Tayari kuna Umeme na Maji.
Gari inaishia mita kutoka ilipo hii nyumba.
(GARI HAIFIKI)
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.