Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Nzuguni, Dodoma


NYUMBA NZURII IMEKAMILIKA KILA KITU.
INAUZWA DODOMA NZUGUNI
UELEKO WA MAIN ROAD MORO - DAR.
πEneo Hili ndio UWANJA MKUBWA WA MPIRA WA KIMATAIFA unajengwa.
β«οΈPIA ARENA
β«οΈNdio Soko kuu na Stand Kuu ya ma
Mabus ya mikoani ilipo.
πNi jilan sana na Viwanja vya maonyesho ya 8 8
πEneo hili ni eneo lenye Fursa kubwaa na Nyingi sanaaa.
Kwa Baadhi ya hizo shughuli za kijamii zilizopo jilan kabisaa.
Ndio Eneo Linapakana na ILAZO + IHUMWA
Muundo wa Nyumba hii
β«οΈRoom 3 - 2 master bedroom
β«οΈSeble
β«οΈJiko
β«οΈPublictoilet
Huduma zote zipo.
βοΈMaji + Umeme
(Duwasa / Tanesco)
βοΈTank za Maji
βοΈFull Fens na Get
βοΈUwanjan Kotee hakuna Vumbi wala Tope kuna Raflow (cement)
Nyumba Ina nafasi nzurii
Imejengwa kwa Viwango Boraa sana vya ujenzi.
Inafaa sana Kwa Familiar
Bei N Tsh Million 60 tuh
Njoo site uone Nyumba Tuzungumze Biashara.
Site visit Elfu 20,000/=
π²Mawasiliano zaid
π²Call ____ watsapp 0718436694