Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Ukumbi, Iringa







NYUMBA/BANDA INAUZWA KISAKASAKA 
#unguja #zanzibar
Umbali Mpaka barabarani Mita 350
Vyumba 3 (Hakuna Master)
Ukumbi Mdogo 
Jiko
Stoo 
Public Toilet 
Umeme ✅
Ukubwa wa Kiwanja Ft 70x50
Bei Tsh 21,000,000/= Milioni ishirini na moja 
What's App/Call 0653007438
#mtegemeachanduguhufamaskini
#kimfaachomtuchake



















