Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🌟 NYUMBA INAPANGISHWA 🌟
📍 Eneo: Bunju B
💰 Kodi: TZS 200,000/= kwa mwezi
🏠 Muundo wa Nyumba:
• 🛏️ Vyumba 2 vya kulala
• 🛋️ Sebule
• 🍳 Jiko
• 🚽 Public Toilet (Choo cha Pamoja)
• ⚡ Umeme mnashare wawili
• 🚿 Maji mnashare wawili
📞 Wasiliana Nami (Simu/WhatsApp):
📲 0687 800 788
📲 0713 958 395


















