Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kibamba, Dar Es Salaam







#STAND ALONE HOUSE/NYUMBA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE INAPANGISHWA KIBAMBA GOGONI
Vyumba 2 vya kulala vyote master bedrooms sebule jiko na public toilet
Kodi 400,000 kwa mwezi ×3
Ipo kwenye fence peke yake kwahiyo Inajitegemea kila kitu
Umbali km 1 usafiri boda boda 1000
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15
###0655256419