Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


𝗜𝗡𝗔𝗣𝗔𝗡𝗚𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 (𝟯𝟱𝟬𝗸 𝗧𝘀𝗵𝘀): Ni apartment ya vyumba viwili (2) vya kulala, chumba kimoja ni 'MASTER BEDROOM', Sebule kubwa, Jiko na choo cha public ndani. Ipo ndani ya fensi yenye apartment mbili tu na zote zinajitegemea kila kitu umeme na maji.
𝗠𝗔𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗜𝗟𝗜𝗣𝗢: KIMARA SUKA Upande wa kulia kama unatoka ubungo. Umbali ni dk 12 kwa miguu kutoka morogoro road
𝗕𝗘𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘: Laki tatu na elfu hamsini tu (350,000/- Tshs) × miezi 6 + mwezi mmoja malipo ya Dalali
𝗦𝘂𝗿𝘃𝗲𝘆 𝗰𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲 kupelekwa kuona nyumba ni Tshs 10,000/- tu. Italipwa mara moja na itatumika hiyo hiyo ikiwa mteja utataka kuona nyumba zingine.
𝗣𝗜𝗚𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗨: 0758 892945 (Pia inapatikana WhatsApp)



















