Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


๐ฏ๏ธInapangishwa KIMARA TEMBONI
๐ 450,000/= *5
๐ Wahiii ndugu mteja huwa haikai sana
_________
___
โข Vyumba 2 vya kulala (Kimojawapo ni Master Kubwa)
โข Sebule kubwa
โข Dinning
โข Jiko Kubwa
โข Public Toilet
* A/c ipo Sebuleni na kwenye chumba cha master
* Inajitegemea UMEME na MAJI
* Maji yanatoka ndani
* Slide Windows
* Parking
โข Mazingira TULIVU na MAZURI SANA
#Umbali wa Dk 5 kwa miguu kutoka Kituoni
๐ Angalizo:- Kodi inaambatana na hela ya tahadhari (caution money) Tsh 450,000/=, hivyo inabidi ulipe jumla miez 6
#NOTE: Ya Juu ndio Iko Wazi
______
#Kupelekwa kuona nyumba Tsh 15,000
#Malipo ya Dalali ni Tsh 450,000/=
______
0753-172-516