Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba inapangishwa bei laki 3 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba ipo mbagala chamazi location mikumi ni stand alone house ina rooms 2 vyakulala, sitting room, jiko, room ni master bedroom, public toilet ipo, tiliz, madilisha vioo, mafeni juu panga boy yapo, garden ipo na, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 8 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.


















