Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







APARTMENT ZINA PANGISHWA MBEZI LUGURUNI MANISPAA YA UBUNGO KM2.5 KUTOKA LAMI
------
Vyumba 2 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa la kisasa
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa
-------
Service charge 15,000/=
Kodi 350,000X3
--------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 3.5
---------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693_673010
#dalali_big_kimara
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏