Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT 2 TU ZINA PANGISHWA NA HII MOJA NDIYO IPO WAZI MBEZI KWA MSUGURI DK5 KUTOKA LAMI
--------
Vyumba 2 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa sana
Jiko kubwa la kisasa
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Maji yana flow
Tiles
Gypsum
Ndani ya fence ya yawa
Paving block
Parking space kubwa sana
-----------
Service charge 15,000/=
Kodi 400,000/=×6
-------------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 4
-------------
Contact
📞#0676_218580 (WhatsApp)
📞#0693_673010
#DALALI_BIG_KIMARA 🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏