Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Moshono, Arusha


INAPANGISHWA MOSHONO LAIZER  ARUSHA 
🔹️Ni nyumba yenye room mbili  za kulala haina mastter
🔹️Ina sebule 
🔹️Ina jiko lenye makabati 
🔹️Ina public toilet na bathroom
🔹️Ina heater ya maji moto
🔹️Ina parking
🔹️wapangaji wawili tu 
🔹️Bei 300,000 kwa mwez
👉Call 0758105801



















