Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


🏠 NYUMBA INAPANGISHWA – SINZA
📍 Sinza, Dar es Salaam (dakika 1 / mita 50 kutoka barabara kubwa)
💰 Kodi: 700,000/= kwa mwezi
🗓 Malipo: Miezi 6
🛏 Vyumba 2 vya kulala
🛋 Sebule kubwa
🪟 Jiko la kisasa
🚻 Choo & bafu safi
🛡 Ndani ya fence (usalama upo)
🚗 Parking ipo
💵 Service Charge: 30,000/=
📝 Agent Commission: Kodi ya mwezi mmoja
✅ Nyumba safi na ya kisasa
✅ Karibu na barabara kuu – easy access
✅ Inafaa familia au mtu binafsi
⚡ Nafasi adimu, wahi sasa!
📞 Wasiliana: 0678 512 666