Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Pugu, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 2, TSHS.32 MILIINI, PUGU-KIGOGOFRESH.
Nyumba nzuri ndani ya Fensi.
Vyumba 2 (Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba Ina Tiles,Gypsum,
Dirisha za Nyavu na Choo cha Familia ndani
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________tp