Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 APARTMENT #INAPANGISHWA
📍kimara korogwe
🕑Dakika 10 Kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi boda boda 1000 Tu
🔹SIFAZAKE
🔹Chumba, Kimoja master kizuri
🔹Na baraza yake
🔹Umeme luku wanashare 3 kila mmoja 🔹ana submiter
🔹Maji yanaflow ndani
👉Fence amna Mazingira Tulivu Sana
📌 Hii inakuwa wazi Tarehe 03/05/2025 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa ndugu mteja
🔸Kodi Tsh 150,000/=x6 (Miezi Sita)
🔸Malipo ya Dalali Tsh 150,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
MAWASILIANO 0656623510
WSP 0752436347