Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿#APARTMENT #INAPANGISHWA
📍Kimara Bucha Dar es Salaam
🕛Dakika 3 Kutembea toka Kituo Cha Mwendokasi,
#SIFAZAKE
🔷Chumba Kimoja, Master
🔷Sebule
🔷Jiko
🔷Publick toilet ya ndani ipo
🔷Umeme LUKU yake, Maji yanaflow 🔷ndani
🔷Fence & amna ila mazingira mazuri sana
🔷Packing ipo kubwa
🔶Kodi Tsh 200,000/=x3 ,4,5,6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Tsh 200,000/=
🔶Service Charge Tsh 15,000/-
📌Hii ipo wazi kabisa
#Piga_simu 0789049684
Karibu Sana Mteja😊