Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam






🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍 Kimara Korogwe
🕑 Umbali kutoka stand ya mwendo kasi ni dakika 10–12. Usafiri wa boda ni Tsh 1,000/= hadi getini kwako. Pia unaweza kupitia Kimara Mwisho.
#SIFA ZAKE
🔹 Chumba kimoja Master kikubwa
🔹 Sebule kubwa
🔹 Jiko nzuri
🔹 Umeme LUKU – wawili, kila mmoja na submeter yake
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24
🔹 Fensi inaendelea kujengwa
🔹 Ulinzi wa Wamasai masaa 24
👉 Gharama za Maji Taka, Usafi wa Nje na Taka Maji ya Kisima ni Tsh 145,000/= kwa miezi yote sita.
Malipo haya yatalipwa pamoja na kodi, na ukishalipa hutahangaishwa mpaka miezi 6 iishe.
#GHARAMA
🔶 Kodi: Tsh 300,000/= × 6 (miezi sita)
🔶 Malipo ya Dalali: Tsh 300,000/=
🔶 Service Charge: Tsh 15,000/=
📞 Piga Simu:
O740747383
Karibu sana mteja 😊



















