Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 APARTMENT NZURI INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE
➖➖➖➖➖
📍 Eneo: Kimara Korogwe
🕑 Umbali: Km 1 kutoka stand ya mwendo kasi — usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, kwa mguu dakika 15
#SIFAZAKE
Chumba kimoja (Master Bedroom)
Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
Umeme wa LUKU (Submita yake binafsi)
Maji yanapatikana nje masaa 24/7
Fenced, Car Parking kubwa na salama
#GHARAMA
Kodi: Tsh 140,000/= × 6 (miezi sita)
Malipo ya Dalali: Tsh 140,000/=
Service Charge: Tsh 15000/=
📞 #Piga_simu: 0659244543
#Follow_us þ
Karibu Sana Mteja



















