Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #NEW APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Korogwe
🕑 Umbali kutoka stand ya mwendo kasi dk 10 kwa mguu usafiri boda 1,000/= mpaka getini kwako
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Jiko
🔹Umeme & Maji #Inajitegemea
🔹 Maji safi yanapatikana ndani muda wote (24/7)
🔹Fensi ipo & packing hamna
#GHARAMA
🔶Kodi: Tsh 250,000/= × 6 (Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali: Tsh 250,000/=
🔶Service Charge: Tsh 15,000/=
📞 Piga_simu:
Follow_us 🙏
Karibu Sana Mteja 😊
0713661530_0783661530



















