Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


๐น๐ฟ #APARTMENT #INAPANGISHWA
โโโโโ
๐Ubungo Riverside, Dar es Salaam
๐Dakika chache Sana kutembea toka Kituo cha dala dala.
#SIFAZAKE
๐นChumba Kimoja, Master kikubwa
๐นSebule kubwa
๐นJiko zuri
๐นUmeme LUKU wawili, Maji yanaflow ndani
๐นIko ndani ya Fence isiolaza Gari
โฆ๏ธKodi Tsh 300,000/=ร6(Miezi Sita)
โฆ๏ธMalipo ya Dalali Tsh 300,000/=
โฆ๏ธService Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu ๐
,
#0688573777. ๐&Whatsapp
,
#please #Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐