Nyumba/Apartment ya vyumba vitano inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🔰 Apartment Mpya Zinapangishwa, KIMARA SUKA
📍 Zipo 4 aina tofauti, chagua yako :-
______
___________
★AINA YA 1:-
* Chumba Master Kikubwa
#Kodi Tsh. 110,000/= *6
_________________________
★AINA YA 2:-
* Chumba Master na Sebule
#Kodi 170,000/= *6
_________________________
★AINA YA 3:-
* Chumba cha kulala, Sebule, Jiko na Choo Ndani
#Kodi 200,000/= *6
_________________________
★AINA YA 4
* Vyumba 2 vya kulala (Kimojawapo ni Master), Sebule, Jiko na Public Toilet
#Bei ni 300,000/= ×6
_________________________
★AINA YA 5
* Vyumba 3 vya kulala (Kimojawapo ni Master), Sebule, Jiko na Public Toilet
#Bei ni 350,000/= ×6
_________________________
★SIFA YA ZOTE:-
• Ndani ya Fensi
• Inajitegemea UMEME
• maji ndani
#Umbali wa dakika 16 kwa miguu au Bodaboda Tsh 1,000/=
__________
#Malipi ya Dalali Nasoni ni hela ya mwezi mmoja
#Kupelekwa Kuona 15,000/=
№:- 0753172516