Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Goba, Dar Es Salaam







NI APARTMENT NZURI SANA INAPANGISHWA
Kodi ni Tsh 400,000 kwa Mwezi
IPO GOBA NJIA YA MAKONGO JUU
Vyumba Viwili vya kulala vyote master
Sebule kubwa
Jiko zuri lenye Makabati
Public toilet
Maji yapo Dawasa
Yanaflow ndani
Luku yako mwenyewe
Servichaj elfu 10 tu
Contact
0742260844
0657384670
0788296797