Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara korogwe klingule
🕑2.5 km Kutoka Mwendokasi, Bajaji 500 Tu, Ukishuka Unatembea dakika 15 mpaka kwenye Nyumba Au Boda Boda 1000 tu
#SIFAZAKE
🔹Vyumba viwili vya kulala Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Hakuna Jiko
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow ndani
🔹Fenced Car Parking kubwa
📌Nyumba vya wastani Tu
🔶Kodi Tsh 180, 000/=× miezi 4,5,6
🔶Malipo ya Dalali Tsh 180, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
##0655256419
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😁