Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🚨🔥#APARTMENT ZIPO 2  TU KWENYE FANCE MOJA  INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara korogwe 
🕑Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 5_6 kwa mguu 
#SIFAZAKE
🌲Vyumba Viwili, vyote ni  Master
🌲Sebule
🌲Jiko
🌲Public Toilet nje
🌲Umeme Luku Yake
🌲Maji meter yake na yanaflow ndani
🌲Fensi & Parking Kubwa
👉  Hii ipo wazi ya kuingia 
🔹Kodi Tsh 400, 000/= miezi 6
🔹Malipo ya Dalali Tsh 400, 000/=
🔹Service Charge. Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu 👇
0753454167
0679447338



















