Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







#APARTMENT #INAPANGISHWA KODI TSH 400000x6
๐Kimara Korogwe
๐Hii hapa wavivu wa kutembea mmefikiwa sasa .Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 3 kwa mguu haitaji bodaboda hii
#SIFAZAKE
๐ฒVyumba Viwili, kimoja Master
๐ฒSebule
๐ฒJiko
๐ฒPublic Toilet ya ndani
๐ฒUmeme Luku Yake
๐ฒMaji meter yake na yanaflow ndani
๐ฒFenced & Parking mazingira mazuri Parking Kubwa
๐ทKodi Tsh 400, 000ร miezi ,6/=
๐ทMalipo ya Dalali Tsh 400, 000/=
๐ทService Charge. Tsh 15, 000/=
______________
What saapp number 0689-547258
,