Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT INAPANGISHWA
MAHALI : Mbezi beach(karibu na jk nyerere)
-Ina vyumba viwili vya kulala(kimoja masta) , sebule na jiko
Ziko 3 tu kwenye fensi
INAJITEGEMEA KWENYE UMEME NA MAJI
BEI : 600,000 Tsh KWA MWEZI
MALIPO YA MIEZI 6
CONTACT 0685 006223
WHATSAP 0718 759287


















