Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT HOUSE FOR RENT
VYUMBA VIWILI VYA KULALA
IKO DAR ES SAALAM TZ LOCATION MBEZI BEACH AFRICANA
Kodi: Tsh 900,000 TZS kwa mwezi
+ Sifa za nyumba:
Vyumba 2 vikubwa vya kulala (kimoja ni Master)
• Sebule kubwa na Jiko lenye makabati Bafu la ndani na la public Gypsum, Tiles, na Windows za Slides
Umeme wa Luku binafsi Maji ya bomba saa 24
Parking space ipo
Nie imepangwa kwa Paving blocks Nyumba imezungushiwa uzio
(Fenced) nyumba ni MPYAA
Nione dalali_mbezi_beach_godfrey1
Call/whatsapp #0625584914



















