Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


Nyumba nzuri sana ya kisasa Inauzwa  imeshuka  bei  kwa sasa  milioni  75 maongezi yapo🇹🇿 Ipo Mbezi Makabe - MSUMI - Dar es salaam - Tanzania
 ▫Inavyumba Vinne vya Kulala 
◇Master Bedroom
▫Sitting room 
◇Dining room 
◇ Kitchen
◇Store 
▫ Public toilet 
▫Ukubwa wa kiwanja: sqmt 600 
◇document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa) 
◇Kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua
◇ Maji safi umeme vyote vipo 
◇Umbali ni mita 100 kutoka mean road




















