Kiwanja kinauzwa Pugu, Dar Es Salaam


KIWANJA SQM.500 NA BANDA, INAUZA BANK, TSHS.19 MILIONI, PUGU KINYAMWEZI.
Banda limeshaezekwa na linaweza kukusitiri au kupangisha muangalizi.
Hapa ni umbali wa kilomita 2 tu kutoka Barabara ya Lami inayoelekea Chanika ukitoka Pugu.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.