Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 18,000,000
Installment Allowed
Yes
Project
Yes

1.KWANI KISARAWE 2 (TWO) NI WAPI …..?

Kisarawe 2 ni kigamboni kituo kinachofuata baada ya kibada wengine wanapaita kigogo ni Km 7 kutokea kibada stendi njia ya kwenda mwasonga au dar es salaam zoo hii barabara ambayo ipo kwenye hatua za mwisho kabisa za kumwaga lami hivyo ni kimbilio la wateja wengi kwasasa kabla bei hazijapanda

2. KWANINI KISARAWE 2 NA SIO SEHEMU NYINGINE …?

Kwasababu ni karibu sana na ferry/ darajani na panafikika kirahisi , KISARAWE 2 ni umbali ya dakika 35 kutoka site hadi kufika ferry / darajani na hakuna foleni panafikika kirahisi ni Km 14 kutoka darajani/ ferry

3. BEI ZAKE ZIPOJE …?

Bei za kisarawe 2 ni shilingi elfu therathininkwa mita moja ya mraba (SQM 1 = 30,000) hivyo ukubwa wa kiwanja unaoutaka unazidisha mara mita moja ya mraba
Mfano ; SQM 600 (mita 30 kwa 20) unazidisha mara 30,000Tsh = 18M

4; UMILIKI WAKE UPOJE ….?

Viwanja vipo vinne vya swm 600, SQM 800, SQM 1200, SQM 2650, VYOTE VINA HATI KAMILI KITOKA WIZARA YA ARDHI.

5. MALIPO YAKE YAPOJE …?

Unaweza kulipa Cash (kwa mkupuo) au kwa awamu lakini utapewa mwezi mmoja wa kumalizia malipo.

6. SIKU YA KWENDA SITE NI LINI ..? NA OFISI ZENU ZIKO WAPI…?

Ofisi zetu zipo kigamboni kibada karibu na KIBADA GARDEN na kila siku tunaenda site.

7.MAWASILIANO
☎️0767894547
☎️0629894547

Dalali mfupi
dalali_kigamboni_mfupi
Dalali mfupi

Similar items by location

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000

MRADI MPYA WA KIGAMBONI VUMILIA UKOONI -MWEMBEMDOGO 0767053517👉🏽Viwanja vimepimwa na vina bacon zi...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000

🔥🔥 MRADI WA VIWANJA – KIGAMBONI VUMILIA UKOONI (MWEMBEMDOGO) 🔥🔥📍 Viwanja vimepimwa rasmi na vin...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 5,000,000

KIWANJA_KINAUZWA---📍 Location: Kigamboni Cheka---Miundombinu:✅ Barabara ya gari (upana 12m) inafika...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – Kigamboni Darajani 🏡✨ Vyumba 3 ( 1 Master – Self Contained)✨ Sebule kubwa ...

Nyumba inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 38,000,000

🏡✨ NYUMBA INAUZWA – TUANGOMA ✨🏡---🔥 ZIPO NYUMBA 2 zenye:🛏️ Chumba Master Bedroom (Self Contained...

Nyumba inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000,000

#HOUSE FOR #SALE KIGAMBONI <> location kisiwani <> Ukubwa wa eneo SQM 750✅HATI YA WIZALA<> price Mil...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 450,000,000

BEACH PLOT INAUZWA KIGAMBONI BUYUNIBEI;MILION 450UKUBWA;HEKARI MOJAFULL DOCUMENTSCALL 0742121038

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 60,000,000

Kigamboni kona ya chuo cha afyaBei;Milion 60UKUBWA;SQM 2800Full document Call 0742121038

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 80,000,000

KIWANJA_KINAUZWA---📍 Location: Kigamboni Kisota ---Miundombinu:✅ Barabara ya gari (upana 12m) inafi...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 270,000,000

KIWANJA_KINAUZWA---📍 Location: Kigamboni Ungindoni ---Miundombinu:✅ Barabara ya gari (upana 12m) in...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 270,000,000

KIWANJA_KINAUZWA---📍 Location: Kigamboni Ungindoni ---Miundombinu:✅ Barabara ya gari (upana 12m) in...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kisiwani <> nyumba Ina vyumba viwili kimoja Master sebule...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kisiwani <> nyumba Ina chumba kimoja master na jiko kubwa...

Nyumba inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI MCHIKICHINIBEI:MILION 35 NA LAKI 5UKUBWA;SQM 400CALL 0742121038

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 55,000,000

Eneo Nzuri Sana IinauzwaMahali: KIGAMBONI KIMBIJI MTAA WA GOLANIBei: Milioni 55 (Mazungumzo)☑️Unatem...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 250,000,000

Eneo Nzuri Sana IinauzwaMahali: KIGAMBONI KIMBIJI MTAA WA MUHIMBILI Bei: Milioni 250 (Mazungumzo)☑️M...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 5,000,000

Viwanja Vinauzwa Vipo KIGAMBONI KIMBIJI MTAA WA MUHIMBILI Mita 200 kutoka main Road Ukubwa ni SQm 50...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000

MRADI MPYA WA KIGAMBONI VUMILIA UKOONI -MWEMBEMDOGO 0767053517👉🏽Viwanja vimepimwa na vina bacon zi...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 55,000,000

Eneo Nzuri Sana IinauzwaMahali: KIGAMBONI KIMBIJI MTAA WA GOLANIBei: Milioni 55 (Mazungumzo)☑️Main R...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 250,000,000

Eneo Nzuri Sana IinauzwaMahali: KIGAMBONI KIMBIJI MTAA WA MUHIMBILI Bei: Milioni 250 (Mazungumzo)☑️M...