Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 1,300,000
Project
Yes

BEI YA KIWANJA NI MILION NA LAKI TATU TU. (1,300,000/=) Unamiliki Kiwanja KIGAMBONI KIMBIJI KWA MORISI. Simu ziite📞0711677199/0744847199

Kwanini ununue kiwanja kwenye mradi wetu wa KIGAMBONI KIMBIJI KWA MORISI !! ✨ Hapa kuna sababu za kufanya hivyo:

1️⃣ Mradi upo Katikati ya mji kabisa, Majirani wapo wa kutosha na wamejenga nyumba za maana.

2️⃣ Mradi uko karibu na barabara kuu itokayo Mji Mwema Kwend Buyuni, ni mita 500, hivyo kunakupa urahisi wa kufika kwako bila usumbufu na gharama kubwa.

3️⃣ Miundombinu bora: Mradi una huduma zote muhimu kama maji na umeme. Ukiachana na makazi bora, pia huduma muhimu za kijamii kama shule na hospitali zipo.

4️⃣ Mandhari ya kipekee na ya kifahari: Upepo Mwanana Toka baharini maana ni Km 1.5 Kwenda Ufukweni.

5️⃣ Viwanja vimepimwa kwa Ukubwa wa Futi 50 X 40. Unaweza kuunga Viwanja kuanzia viwili, vinne, sita na kuendelea inategemea na bajeti Yako.

6️⃣ Umbali kutoka Ferry mpaka KIMBIJI kwa Moris ni Km 35. Unapanda gari Moja toka Ferry zinazokwenda Buyuni unashukia KIMBIJI kwa Moris. Wakati wewe unajivuta vuta kuja kuchukua kiwanja chako, utakuta watu washachukua maeneo yao. Fanya maamuzi sahihi na umiliki kiwanja cha ndoto zako! Nipigie 0711677199/0744847199.

Khadja Pesambili | @pesambili properties limited
khadja_viwanja
Khadja Pesambili | @pesambili properties limited

Similar items by location

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

📍 Kiwanja kinauzwa kigamboni kibada kisarawe ll📍Umbal wa kilometer 10 kutoka fer yaan kivukoni 📍N...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kisiwani <> nyumba ina chumba kimoja master sebule na jik...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000 per sqm

💥 PARADISE PROJECT📍KIGAMBONI-VUMILIA UKOONI🔥 ▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000

🔥🔥MRADI WA VIWANJA KIGAMBONI VUMILIA UKOONI -MWEMBEMDOGO🔥🔥👉🏽Viwanja vimepimwa na vina MAWE yan...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 18,000,000

KIWANJA_KINAUZWA---📍 Location: Kigamboni – Kisarawe 2️⃣---Miundombinu:✅ Barabara ya gari (upana 12m...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kibada Shangwe <> nyumba ina vyumba viwili kimoja Master ...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kisota <> nyumba ina vyumba viwili kimoja Master sebule n...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location chekechea <> nyumba ina vyumba viwili kimoja Master sebul...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 13,500,000

*KIGAMBONI CHEKA PRIME CITY PROJECT* 💫🌟✨🌟🌟✨SIFA ZA MRADI⏭️ 3.7 KM KUTOKA MAIN ROAD MPAKA SITE ....

Nyumba inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

📍KIGAMBONI DARAJANI SOWETO 🏠CHUMBA/JIKO & CHOO 👉INAPANGISHWA 👉NYUMBA IPO KWENYE FINISHING 🕐DAKI...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

HOUSE FOR RENT VYUMBA VIWILI VYA KULALA VYOTE MASTER SEBULE DINNING NA JIKO TSH 350K 🤝 KIBUGUMO KIG...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 12,000 per sqm

HUKU KUMENOGA 🔥🔥🔥🔥ANZA NA LAKI MBILI TU KIGAMBONI PEMBAMNAZI✅Mradi huu unapatikana barabara ya k...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000

MRADI MPYA WA KIGAMBONI VUMILIA UKOONI -MWEMBEMDOGO 0767053517👉🏽Viwanja vimepimwa na vina bacon zi...

Nyumba inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 180,000

📍KIGAMBONI DARAJANI SOWETO 🏠CHUMBA/JIKO & CHOO 👉INAPANGISHWA ____________________________________...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA📍 Kigamboni – Kibugumo ✨ Sifa za nyumba:➡️ Vyumba 3 vya kulala (2 Master...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – Kigamboni Geza Ulole 🏡✨ Vyumba 2 ( 1 Master – Self Contained)✨ Sebule kubw...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA📍 Kigamboni – Kibugumo ✨ Sifa za nyumba:➡️ Vyumba 3 vya kulala (2 Master...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kisiwani <> nyumba ina chumba kimoja master sebule na jik...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location darajani <> nyumba ina chumba kimoja master na jiko kubwa...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 15,000,000

Viwanja vinauzwa kigamboni MCHIKICHINIBei;Milion 15UKUBWA;SQM 400Kutoka lami MITA 200 tu Yani unatem...