Viwanja vinauzwa Madale, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 80,000
Project
Yes

MADALE MIVUMONI - eneo tambalale kabisa

■■ Viwanja vipo jirani kabisa na barabara kuu ya kutoka Goba kuelekea Madale.

■■ Hapa tumepima viwanja 20 tu na vyote vipo sehemu ambayo unatoka barabara kubwa mita chache unaingia ndani kwako hapo hapo.

■■ Viwanja vimepimwa na vipo katikati ya maeneo ambayo yote yamepimwa na yamepangika vizuri.

■■ Viwanja vipo sehemu ambayo kwenda katikati ya mji ni mwendo wa dakika kadhaa tu.

■■ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

BEI ZA VIWANJA NA UKUBWA WAKE

Bei hapa ni 80,000Tsh kwa sqm 1 ya mraba na malipo yake ni CASH . Katika suala la bei maongezi yapo kidogo.NJOO OFISINI

Viwanja vya hapa vina ukubwa kuanzia sqm 600[upana 20mita × urefu 30mita] mpaka sqm 1500[upana inakuwa 30mita x urefu 50mita].

Inamaana hapa viwanja vimeanzia milioni 40 mpaka milioni 120 kutokana na ukubwa unaotaka wewe mnunuaji tu.

UMBALI WA PROJECT YA VIWANJA

1km kutoka Madale centre na 1km kutoka madale road(Barabara ya Lami, ingawa barabara ya kwenda eneo la project ni kubwa (30mita) na inafikika katika kipindi chote cha mwaka iwe masika iwe jua

Nauli kutoka Mbezi Magufuli Stand au Tegeta mpaka Madale ni sh. 500 tu kwa daladala na kutoka barabara ya Lami kwenda site hata kwa miguu unaenda vizuri kabisa mana ni karibu.

KWA MAELEZO ZAIDI TUPIGIE NAMBA HIZI #0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na ndio wamiliki wa mradi.

Fika ofisini kwetu TEVI COMMERCIAL PARK(ilipo NBC BANK), MBEZI BEACH TANKI BOVU - DAR ES SALAAM.

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

Kiwanja kinauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 30,000

Location(Madale Uzunguni)Plot For Sale Size: SQM 900Price: 100Milion Neighborhood 👍 Note: 30k for v...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Madale, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 700,000

#VYUMBA_VIWILI _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENTIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MADALE FLAMINGO ————...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

✨ NYUMBA INAUZWA – MADALE | KM 1.5 TOKA LAMI 🏡Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa, ipo kwenye eneo tuliv...

Kiwanja kinauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 77,000,000

KIWANJA CLASSIC KINAUZWA,Kimepimwa tayar, plot nomaji na umeme vipo,ukubwa SQM 1560,bei 77m, maong...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 300,000,000

🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MADALE, MITA UZUNGUNIFursa ya kipekee ya kumiliki nyumba nzuri na ya k...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

✨ NYUMBA INAUZWA – MADALE | KM 1.5 TOKA LAMI 🏡Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa, ipo kwenye eneo tuliv...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Madale, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 20,000

#Repost Dalalimbezibeach_semba • • • • • •LOCATION(MADALE FLAMINGO)NEW STAND ALONE HOUSE FOR RENT BE...

Viwanja vinauzwa Madale, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 13,500,000

Uwekezaji unaendelea ndani ya site yetu ya MADALE MIVUMONI📌Kuanzia milioni 26 kwa cash unapata kiwa...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

NYUMBA NZURI INAUZWA MADALE FLAMINGO - (MILLION 150)Ina Vyumba Vitatu Self Contained, Dinning ,Sitti...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

NYUMBA INAUZWA Ipo madale kawawa🛏 Ina Vyumba Vitatu (🛌 Vitatu ni Master)Sebule | Jiko | Stoo | Din...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

Inapangishwa: stand alone InajitegemeaLocation :: Madale mkoroshini Bei yake :: 500,000 Tsh Muundo w...

Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

🏠 APARTMENT MPYA (KARIBU KUKAMILIKA) INAPANGISHWA – MADALE | TSH 1,000,000Fursa ya kupanga kwenye a...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 300,000,000

🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MADALE, MITA UZUNGUNIFursa ya kipekee ya kumiliki nyumba nzuri na ya k...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

House For Sale Location:Tegeta Madale FlamingoPlot Size Sqm 700Documents:Title Deeds(Ina Hati Miliki...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

#APARTMENT #MPYAA INAPANGISHWA #GOBA_NJIA_4 MADALE ROAD KM 1 TOKA #LAMI __Vyumba 2 vya kulala, kimoj...

Kiwanja kinauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 125,000,000

.....#0755532554☄️PLOT FOR SALE↪️MAHALI: MADALE.....UMBALI KUTOKA LAMI: 100 meters🟩UKUBWA: 915 Sqms...

Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

🏠 APARTMENTS MPYA INAPANGISHWA – MADALE KONTENA | TSH 700,000Fursa ya kupanga apartment ya kisasa n...

Kiwanja kinauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 130,000,000

Kiwanja kizuri sana kinauzwa:Kipo jirani na lami kwa wale wa apartment hapo ndio mahala pake Kipo nd...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

*NYUMBA MPYA INAUZWA – MADALE, FRALAMINGO*Nyumba mpya kabisa inauzwa, ipo eneo zuri la Madale Fralam...

Nyumba/Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Madale, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 1,000,000

#VYUMBA_VITATU _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENTIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MADALE FLAMINGO ( Ny...