Viwanja vinauzwa Buyuni, Dar Es Salaam


Hellow oasis lovers! Tunawapenda sana wateja wetu!
Tumewaletea offer maalum kabisa..
BUYUNI GREENCITY.
< Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 400
< Unaweza kukipata kwa bei nafuu kabisa
< Bei zetu ni:
< Sqm1 kwa cash ni 8500 Tsh
< Sqm1 kwa malipo ya awamu yaani installment ni 11,000
< Malipo huwa yanafanyika kwa miezi 24 tuu
< Na kila mwezi utalipia 200,000 tuu.
< Ukimaliza kulipa deni hati yako mkononi
Pia;
Viwanja vyetu vinaukubwa kuanzia sqm400 mpk 5000sqm!!!
Umbali
Km 38 tuu kutoka site kuelekea ferry
Km 3 tuu kutoka site kuelekea barabara kuu.
Unakosaje fursa hii mpendwa wangu, wahi sasa!!
Huduma zote za kijamii zipo katika eneo la Mradi
🤝Karibuni sana oasis premises limited
📍Tupo Bamaga dora tower floor no 4
📲 Kwa màwasiliano zaidi piga 0652044544
#firstladyzanzibar#trafrikasw#dstvtanzania#mario#uckgtanzania#embassyofjapanintanzania#joicekiria#officialnandy#anaiaytz#kajalaggarwal#muruacosmetics#



















