Viwanja vinauzwa Kigamboni Mwasonga, Dar Es Salaam (400 sqm)





Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Sifa
Maelezo
๐ฅ MRADI MPYA โ KIGAMBONI MWASONGA ๐ฅ
Fursa nzuri kwa yeyote anayetamani kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi na lenye makazi tayari.
๐ Mradi upo KM 23 kutoka Ferry
๐ Ni KM 1 tu kutoka barabara kuu
๐ Eneo tayari limeendelea na majirani wapo wanaishi sio pori.
๐ Ukubwa wa viwanja kuanzia SQM 400 na kuendelea, hivyo unaweza kuchagua ukubwa unaokufaa kwa makazi au uwekezaji.
๐ฐ Bei:
โข Tsh 25,000 kwa SQM โ Cash
โข Tsh 30,000 kwa SQM โ Installments
๐ Malipo ni rahisi:
Unaanza na 10% tu, kisha inayobaki unalipa ndani ya miezi 12 bila presha.
Wasiliana Nasi Leo;
โ๏ธCalls/Whatsapp
0747519264




















