Viwanja vinauzwa Pongwe, Tanga







VIWANJA VIWILI VYA M 2 NA LAKI 5 VINAUZWA PONGWE YA UROA
#unguja #zanzibar
Vipo Viwanja 7 kwa sasa
Umbali kutoka Viwanja Vilipo mpaka Beach/Pwani Mita 600
Umbali kutoka kiwanja vilipo mpaka Barabarani Mita 500
Viwanja vipo baada ya barabara ya ndani
Ukubwa wa kiwanja kimoja Ft 52x50
Idadi ya Viwanja vilivyopo 7
Bei ya kiwanja kimoja Tsh 2,500,000/- Milioni mbili na laki tano
NB:Picha za Beach/Pwani ambazo zipo pamoja na picha za Kiwanja, zina lengo la kukuonyesha aina ya fukwe ilivyo na haina maana kuwa hiki Kiwanja kipo baada ya Beach/Pwani. Nasisitiza; umbali wa kutoka Kiwanja kilipo mpaka Beach/Pwani ni Mita 600
What’s App/Call 0653007438
#mtegemeachanduguhufamaskini
#kimfaachomtuchake



















