Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Gongo la Mboto Majohe, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 150,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

1

Bafu

1

Huduma na Sifa

Parking Space
Maji
Uzio
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Balcony

Maelezo

Chumba master sebule mpyaaaa inapngishwa!!

Vyumba ni vikubwa sana

Choo ni kikubwa sana mnaoga wawili

Feni zinafungwa Leo na UMEME unaingia Leo

Maji na UMEME unajitegemea mwenyewe Mita

Nyumba Iko ndani ya fance full parking geti kali

Nyumba ina baraza kubwa sana

Wapangaji ni 5 TU kila Mtu ana upande wake

Nyumba ni kwaajili ya wapangaji tuu mwenye nyumba hakai hapo

Full windows slide

Full shower

Full gypsum

Kodi ya nyumba ni 150x3+1 Dalali

Service charge 25k

0614130017

Location ni gongo lamboto majohe chuo rada

Tafuta unachotaka Gongo La Mboto, Ilala, Dar Es Salaam