Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Bucha, Dar Es Salaam









Aina
Apartment
Vyumba
1
Bafu
1
Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment Classic For Rent ✨️ Location: KIMARA BUCHA 🕒 Umbali wa km 1 kutoka stand ya mwendo kasi Bucha; kwa mguu ni dakika 15 tu, usafiri wa bodaboda ni Tsh 1,000 hadi getini. 🔹 Chumba kimoja (Master). 🔹 Sebule kubwa sana. 🔹 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi) 🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7. 🔹 Fenced & Parking kubwa sana. GHARAMA 🔹 Kodi Tsh 220,000/= × 4 (Miezi minne ) Service Charge 20,000 1 Month Agent Commission Normal Calls: 0688 067 289 📞















