Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก APARTMENT YA KUPANGISHA โ KIMARA KOROGWE ๐
CALL WSPH
๐ TAARIFA MUHIMU:
Apartment itakuwa wazi tarehe 20 mwezi huu baada ya mpangaji wa sasa kuhama. Unaweza kuja kuiona na kufanya malipo mapema ili ku-reserve nyumba yako.
๐ Mahali: Kimara Korogwe
โจ Kisasa โข Starehe โข Usalama
๐ Airbnb inaruhusiwa
๐ VITU VILIVYOMO
๐๏ธ Chumba 1 cha Master โ Self Contained
๐๏ธ Sebule kubwa yenye nafasi ya kutosha
๐ฝ๏ธ Jiko la kisasa lenye kabati zilizojengwa ndani
๐ HUDUMA BURE
๐ง Maji โ BURE
๐งน Usafi โ BURE
๐ก๏ธ Ulinzi โ BURE
โก UMEME
๐ก LUKU โ Mpangaji anajilipia mwenyewe
๐ฐ GHARAMA
๐ Kodi: TZS 500,000 kwa mwezi
๐
Malipo: Miezi 3 mbele
๐ต Dhamana: TZS 500,000 (Kodi ya mwezi 1)
๐ GHARAMA ZA HUDUMA
๐ Viewing: TZS 20,000
(Malipo ya mara moja hadi upate nyumba.)
๐ค Dalali: Sawa na kodi ya mwezi 1
(Hulipwa tofauti.)
๐ฒ KUONA NYUMBA & MAULIZO
๐ Call / WhatsApp:
๐ฅ Usisubiri hadi tarehe 20!
Ione mapema na ifanyie reservation yako. Pata nyumba ya kisasa, salama na yenye mazingira mazuri, huku maji, usafi na ulinzi vikiwa BURE. Airbnb inaruhusiwa!
๐ Follow dalali abuu kimarkwa nyumba, apartments na viwanja vipya vinavyopatikana kila siku.
#NyumbaZaKupanga #KimaraKorogwe #ApartmentForRent #NyumbaTanzania #RentalTZ NyumbaTz3 RealEstateTanzania DarRentals AirbnbTanzania Kimara















