Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Temboni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT INAPANGISHWA
β KIMARA TEMBONI DAKIKA 12 KWA MIGUU
β
Chumba kimoja Master Bedroom kikubwa na kizuri sana
β
Huduma muhimu zinapatikana kwa urahisi
β
Mazingira tulivu kwa makazi
π° Kodi: Tsh 150,000 X miezi 6 bila kusahau 100000 ya tahadhari
π kuona nyumba: Tsh 20k
π Dalali kodi ya mwezi mmoja pindi utakapolipia nyumba.
π Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi 0684561351















