Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Chamazi, Kwa Chale, Dar Es Salaam

Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam
6 days ago
Sh. 250,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
1
Huduma na Sifa
Tiles
Sliding Windows
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Feni
Uzio
Maelezo
Chumba sebule master bedroom kinapangishwa bei 250 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi location selikali ya mtaa kwa chale. Chumba sebule master bedroom kina tiliz, madilisha vioo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, mafeni juu panga boy yapo, na fensi ya parking ipo pia. Wapangaji jumla wapo 2 tu basi. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.
