Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Chamazi, Kwa Chale, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 250,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

1

Huduma na Sifa

Tiles
Sliding Windows
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Feni
Uzio

Maelezo

Chumba sebule master bedroom kinapangishwa bei 250 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi location selikali ya mtaa kwa chale. Chumba sebule master bedroom kina tiliz, madilisha vioo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, mafeni juu panga boy yapo, na fensi ya parking ipo pia. Wapangaji jumla wapo 2 tu basi. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.

Tafuta unachotaka Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam