Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam







Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
4 days ago
Sh. 150,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
1
Huduma na Sifa
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Umeme
Maji
Jiko
Karibu na Stendi ya Mabasi
Maelezo
Chumba master kubwa na jiko inapangishwa bei 150000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, no fenced lakini usalama wa kutosha, kutoka kituoni dakika 2 hadi 3 hivi, Location tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 15000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii
