Apartment (Furnished) ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam









Maelezo
🏡 CHUMBA SEBULE JIKO NA CHOO INAPANGISHWA – MBEZI BEACH (MAKONDE CHINI)
Unatafuta sehemu nzuri ya kuishi yenye vitu ndani? Hii ni nafasi yako!
✅ Chumba + sebule + jiko + choo
✅ Ina samani (vitu ndani)
✅ Tayari kuhamia
✅ Eneo salama na tulivu
✅ Ipo Makonde Chini – Mbezi Beach
💰 Kodi: TSh 800,000 kwa mwezi
📍 Mahali: Mbezi Beach, Makonde Chini – Dar es Salaam
📲 Wasiliana nami kupitia DM au WhatsApp kwa maelezo zaidi au kupanga kuja kuiona nyumba. Karibu sana!
#NyumbaZaKupanga #MbeziBeach #MakondeChini #DarEsSalaam #HouseForRent RealEstateTanzania















