Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kibada, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

Maelezo

🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – KIGAMBONI KIBADA 🏡

✨ Nyumba nzuri na ya kisasa inapangishwa eneo la Kibada, Kigamboni.

✅ Chumba 1 cha kulala (Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko jipya na zuri
✅ Maji ya bomba yanapatikana
✅ Umeme wa LUKU (unajitegemea)
✅ Ipo ndani ya fensi salama
✅ Mazingira tulivu na rafiki

💰 Kodi: TSh 300,000 kwa mwezi

📍 Eneo zuri lenye miundombinu rafiki na usafiri wa uhakika.

📞 Wahi kuwasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga muda wa kuitembelea nyumba.

#NyumbaInapangishwa #KigamboniKibada #KibadaHomes #HouseForRent #NyumbaYaKodi DalaliKigamboni KigamboniRentals DarEsSalaamHomes MasterBedroom NyumbaNzuri RealEstateTanzania RentalHouse KigamboniProperty NyumbaBora HouseHuntingTanzania 🏡✨dalalisimbakisiwani