Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Baruti, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 200,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Barabara ya Karibu

1km

Huduma na Sifa

Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Mpya
Sebule
Jiko
Maji

Maelezo

NYUMBA YA KUPANGISHA – KIMARA BARUTI

Chumba, sebule, jiko na choo 🚿
🏠 Nyumba ni mpya kabisa

💰 Kodi: Tsh 200,000 kwa mwezi
📆 Malipo: Miezi 6

📍 Eneo: Kimara Baruti
🚶 Umbali: Takriban km 1 kutoka barabara kuu
• Kwa mguu: Dakika 15
• Bodaboda: Tsh 1,000

⚡ Maji na umeme vinajitegemea

📅 Inapatikana kuanzia tarehe 30/03/2026

Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba

Mawasiliano 0656623510

Wsp 0752436347