Tafuta

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 350,000/month

Maelezo

——
nyumba inapangishwa ipo kimara korogwe barabara ya zege

Chumba master sebule jiko

350,000 x 6

inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani

ina Reserve Tank zipo nyumba 6 ndani ya fence

survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba

0655256419
0688617926

Matangazo mengine Kimara, Dar Es Salaam

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara Temboni, Dar Es Salaam

Sh. 400,000/month

For Rent2 beds2 bathsapartment
Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam

Sh. 250,000/month

For Rent1 bed1 bathapartment