Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Maelezo
# INAPANGISHWA (300K X 6)
------------------------------
📌KIMARA SUKA DK 5 KWA MIGUU (Dsm) 🇹🇿
Umbali: DK 5 KUTEMBEA
_________________________
MUUNDO ÷
✔️ Chumba Kikubwa Master
✔️Sebule kubwa
✔️ Jiko Open Kitchen
__________
HUDUMA ÷
✔️Maji (yapo Dawasa) Mita Yako
✔️LUKU #Yake
📌 MAZINGIRA TULIVU NDANI YA FENSI
➖➖➖➖➖➖➖➖➖
KODI; 300,000/=TZS. Kwa mwezi
Malipo ni miezi 06+ Mwezi 1 wa dalali
________________________
Gharama ya kwenda Kuona Nyumba ni 20,000/=
Cont
0683234124
0718367179 wsp















