Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kinyerezi Ditopile, Dar Es Salaam
Kinyerezi, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 230,000/month
Maelezo
š NYUMBA INAPANGISHWA ā KINYEREZI DITOPILE
Unatafuta sehemu nzuri ya kuishi? Hii hapa nafasi yako! š
š Location: Kinyerezi ā Ditopile
šļø Chumba Master
šļø Sebule
š³ Jiko
š° Bei: Tsh 230,000
šµ Malipo ni ruksa
š
Nyumba itapatikana kuanzia tarehe 10/9, kwani mpangaji wa sasa anatoka siku hiyo.
Usikose nafasi hii! Wahi mapema kwa maelezo zaidi na maandalizi ya kuja kuiona nyumba. š š















