Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbagala Mbande Kisewe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba sebule master bedroom pamoja na jiko lake la ndani kwa ndani kinapangishwa bei 140 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe stendi, Chumba sebule master bedroom kina tiliz madilisha vioo, mafeni juu panga boy yapo, unajitegemea umeme luku yk pamoja na maji pia mita yk, na jiko lipo la ndani kwa ndani lakujitegemea. Fensi ipo pia ya parking ya gari, umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 5 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 06888559385 au pga namba 071925 0426.















