Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani

Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
3minutes
Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA ZURI SANA KARIBU NA BARABARA LINAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS BEI KITONGA SANA TSH MILIONI 7 TU.
==========
๐ปLina chumba kimoja Master cha kulala
๐ปSebule kubwa
๐ปJiko
__________________
โ๏ธ Boma lipo Karibu sana na barabara unatembea Dk 3 tu kutoka stand.
๐ Lipo kwenye barabara ya mtaa
โ๏ธ Boma lipo mtaani kabisa, Mtaa ulochangamka sana.
๐ Boma limeshapauliwa
๐ Shimo la choo limesha chimbwa
_____________________
๐ฐ BEI MILIONI 7 tu.
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona BOMA Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994
