Nyumba ya chumba kimoja inauzwa Msongola, Kitonga, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 15,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

1

Huduma na Sifa

Maji
Sebule
Shop Frame

Maelezo

CHUMBA KIMOJA, SEBULE NA FREMU 1,TSHS,15 MILIONI,KITONGA.

Hapa ni MSONGOLA.

Njoo WAHI UJIOKOTEE.
Hapa Chumba kimoja ambacho ni Masta,
Na Sebule.
Pia kuna Fremo moja ya Duka.

Weka Duka lako,
Na Utaishi kwako hapohapo.
Au hupendi Weka Wapangaji chukua Kodi.
Hutakosa kitu.

Huduma za Umeme na Maji zipo.

______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_____________mskv