Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Suka, Dar Es Salaam









Aina
Nyumba
Vyumba
1
Barabara ya Karibu
2.5km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
🇹🇿 APARTMENT NZURI SANA NA SAFI INAPANGISHWA KIMARA - SUKA
📍 Kimara suka .
🕒 2.5km umbali kutoka stand ya mwendo kasi, usafili bajaji/bodaboda zipo muda wote.
#SIFA ZA NYUMBA
🔸 Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
🔸Sebule kubwa
🔸 Jiko zuri na la kisasa
🔸 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
🔸 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
🔸 Fensi hamna & Parking kubwa na salama.
TAARIFA MUHIMU: Kodi ni Tsh 180,000/= kwa MWEZI, na malipo yanaanzia miezi 3 tu.
GHARAMA
🔹 Kodi Tsh 180,000/= × (Miezi mitatu)
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
WSP 0752436347















